Naitwa Kapena. Nipo Dar es Salaam.
Ni mwanafunzi wa Masters ambaye week ijayo natakiwa ku-submit Masters Thesis/Dissertation yangu for examination purposes. Hivyo, natafuta mtu anifanyie English proofreading ya document yangu. Nimejaribu kutumia Grammarly naona haitoshi. Nahitaji human proofreader. Proofreaders kutoka nje wana charge pesa ndefu sana.
Terms and Conditions:
1. Someone with proficient English proofreading capacity/experience is needed.
2. The dissertation has got around 100 pages.
3. Research topic is related to IT/Telecom/Software/Electronics stuff. Hivo mtu akiwa na background kwenye hizo field itakuwa poa sana.
4. Malipo yanafanyika baada ya kazi kurudishwa na mie kuipitia na kuridhika nayo.
5. Je unaweza? Kuna mtu unamjua anaweza? Niconnect nae.
6. Malipo ni shilingi 50,000/= (around 500/= per page)
7. Njoo PM (siweki namba ya simu hapa. Supervisor wangu ni member mzuri wa JF atanidaka bure)
Ni mwanafunzi wa Masters ambaye week ijayo natakiwa ku-submit Masters Thesis/Dissertation yangu for examination purposes. Hivyo, natafuta mtu anifanyie English proofreading ya document yangu. Nimejaribu kutumia Grammarly naona haitoshi. Nahitaji human proofreader. Proofreaders kutoka nje wana charge pesa ndefu sana.
Terms and Conditions:
1. Someone with proficient English proofreading capacity/experience is needed.
2. The dissertation has got around 100 pages.
3. Research topic is related to IT/Telecom/Software/Electronics stuff. Hivo mtu akiwa na background kwenye hizo field itakuwa poa sana.
4. Malipo yanafanyika baada ya kazi kurudishwa na mie kuipitia na kuridhika nayo.
5. Je unaweza? Kuna mtu unamjua anaweza? Niconnect nae.
6. Malipo ni shilingi 50,000/= (around 500/= per page)
7. Njoo PM (siweki namba ya simu hapa. Supervisor wangu ni member mzuri wa JF atanidaka bure)