Mkwezi1987
Member
- Nov 12, 2017
- 5
- 12
Mtangulize Mungu naye atanyoosha mapito yakoHello Wana jf
Natafuta mke wa kuoa ,umri wangu ni 37,dini mkristu,kazi nimeajiriwa ,Sina mtoto,situmii kilevi chochote,Elimu yangu ni chuo kikuu.
Sifa ya Eva ninaye mtaka
Awe na umri 28-35.
Elimu sio kipaumbele changu.
Dini yeyote
Kabila lolote.
Akiwa na mtoto haina shida akiwa Hana Napo sawa.
Awe na mapenzi ya kweli.
Awe tyr kupima afya.
karibu Sana tuanzishe bustani yetu ambayo tutashikamana kuitunza pamoja. Kwa mawasiliano njoo pm tuyajenge.
AmenMtangulize Mungu naye atanyoosha mapito yako
Niko apaHello Wana JF,
Natafuta mke wa kuoa, umri wangu ni 37, dini mkristu, kazi nimeajiriwa, sina mtoto, situmii kilevi chochote, elimu yangu ni chuo kikuu.
Sifa ya Eva ninaye mtaka;
~ Awe na umri 28-35.
~ Elimu siyo kipaumbele changu.
~ Dini yeyote
~ Kabila lolote.
~ Akiwa na mtoto haina shida, akiwa hana napo sawa.
~ Awe na mapenzi ya kweli.
~ Awe tayari kupima afya.
Karibu sana tuanzishe bustani yetu ambayo tutashikamana kuitunza pamoja. Kwa mawasiliano njoo PM tuyajenge.