Natafuta Eva tuanzishe bustani yetu (mke na mume)

Mkwezi1987

Member
Joined
Nov 12, 2017
Posts
5
Reaction score
12
Hello Wana JF,

Natafuta mke wa kuoa, umri wangu ni 37, dini mkristu, kazi nimeajiriwa, sina mtoto, situmii kilevi chochote, elimu yangu ni chuo kikuu.

Sifa ya Eva ninaye mtaka;
~ Awe na umri 28-35.
~ Elimu siyo kipaumbele changu.
~ Dini yeyote
~ Kabila lolote.
~ Akiwa na mtoto haina shida, akiwa hana napo sawa.
~ Awe na mapenzi ya kweli.
~ Awe tayari kupima afya.

Karibu sana tuanzishe bustani yetu ambayo tutashikamana kuitunza pamoja. Kwa mawasiliano njoo PM tuyajenge.
 
Mkuu huna mtoto, hujaoa then unatafuta gumegume la 28+ huyo utaweza kumbadilisha kweli make atakua keshajikatia tamaa na mbususu yake imeburuzwa kama ya kenge yaani milage yake ipo too extra miles na abortions kibao!!
 
Tafuta bikira uoe, kuoa mwanamke bikira ni mlango wa mafanikio
 
Wala usipate shida ya kumtafuta, chukua udongo mfinyanzi umuunde Eva wa kwako.huyo si ndio mpya..[emoji23][emoji23][emoji1732][emoji1732]
 
Mtangulize Mungu naye atanyoosha mapito yako
 
Mwenyezi Mungu akupe hitaji la moyo wako [emoji120]
 
Niko apa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…