Natafuta frame Sinza au Makumbusho

Natafuta frame Sinza au Makumbusho

marktindo04

Member
Joined
Dec 16, 2019
Posts
23
Reaction score
74
Mamb vp wadau wa JF, ebwana natafuta frame maeneo tajwa hapo juu kwa ajili ya kuanzisha duka la accesories ,frame ikiwa maeneo ya sinza au makumbusho itapendeza zaidi

frame iwe na kigai na gypsum yan inshort iwe frame imetulia ,isiwe kubwa sanaaa ,maana bado napambania

kodi kwa mwezi iwe 50,000-80,000
Dalali atakula 30 lakini [emoji120]

nipigie 0746751987
 
Mamb vp wadau wa JF ,ebwana natafuta frame maeneo tajwa hapo juu kwa ajili ya kuanzisha duka la accesories ,frame ikiwa maeneo ya sinza au makumbusho itapendeza zaidi

frame iwe na kigai na gypsum yan inshort iwe frame imetulia ,isiwe kubwa sanaaa ,maana bado napambania

kodi kwa mwezi iwe 50,000-80,000
Dalali atakula 30 lakini [emoji120]

nipigie 0746751987
Hio figure ni kwa Currency ya Kenya ama?
 
Sinza kuna chocho kibao ambazo sidhani kama fremu za huko zitazidi 50 au 80.

Unless kama Mleta uzi atasema anataka kando ya barabara kuu.
 
Mamb vp wadau wa JF ,ebwana natafuta frame maeneo tajwa hapo juu kwa ajili ya kuanzisha duka la accesories ,frame ikiwa maeneo ya sinza au makumbusho itapendeza zaidi

frame iwe na kigai na gypsum yan inshort iwe frame imetulia ,isiwe kubwa sanaaa ,maana bado napambania

kodi kwa mwezi iwe 50,000-80,000
Dalali atakula 30 lakini [emoji120]

nipigie 0746751987
Huo uchochoro sio frem
 
Mwambieni anatakiwa kuwa na kiasi gani,pengine hajui mambo yanaendaje.
 
Back
Top Bottom