Natafuta frame Songea kwa kufungua stationary

wanan

Senior Member
Joined
May 11, 2011
Posts
141
Reaction score
42
Naomba msaada wenu jamani nataka frem uwezo wangu wa kodi max 150,000 na naweza kulipa miezi sita 50,000 nalipa mwaka jamani km kuna mtu unamfahamu nisaidei ndugu yenu wana jf.nawataki siku njema wote
 
Stationary-hali ya kitu kilichotulia tuli(hakina mwendo/movement), mie hapo juu siko stationary!!!!!
Stationery-duka la vifaa vya ofisi, madaftari, kalamu , wino etc
Chaguo ni lako.
 
samahan majoja na maana nisha duka la vifaavya ofisin mambo ya lugha za watu ni tatizo majoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…