ndg zangu Jf naomba msaada wenu, nipate frem maeneo ya fuatayo, magomeni,mwananyamala,mansese, sinza,mssni, kawe,bugruni. Zinazo faa kwa biashara ya mchele na maharage. Sim 0768092950
Nenda Kinondoni Manyanya pale kituo cha daladala ukiwa unatokea magomeni, ukifika pale ulizia Ofisi za Madalali kama utakuwa na pesa siku hiyo hiyo utapata frem
Nenda Kinondoni Manyanya pale kituo cha daladala ukiwa unatokea magomeni, ukifika pale ulizia Ofisi za Madalali kama utakuwa na pesa siku hiyo hiyo utapata frem