Maeneo gani wewe uko interested nayo??? si kila sehemu utafanya Biashara ya Spea kaka ....................Kitunda, Geza ulole, Kwa Mfuga Mbwa ziko fremu za kutosha .......space kubwa, parking inakuwepo kwa nje, kodi ya mwezi ndogo ....Lakini je, Biashara ya Spea inafanyika?