Natafuta **** friend. awe Demu mzuri na mwenye umri kuanzia 26-30

silver25

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
743
Reaction score
44
Sasa sitaki magumash
Yeyote aliye Tayari anitafute haraka sana maana najua muda ukiisha tu nafunga recruitment

chrissg@myway.com
fasta
 
WHAT are da measures of uzuri?
unatumia parameter zipi au who is ur benchmark (mfano awe kama Maimuwa wa Mtoni au Jack wa Arusha fire) illi nijipimie.
 
Crap!!

Alafu Merytina watu wa faya sio hadhi ya huyu mzee!!
 
Silver25 jamani muwe mnasoma na nyie thread kama hizi zikitupiwa hapa.. mnaambiwa kila siki hii ni issue ya Love connect...
 
hehehehehe:A S-rose: wise come to me
 
mzuri kwa mantiki ipi?
demu kwa maana gani?
magumashi kivipi?

mix with yours
 
Hehehehe Magumashi ni mizinguo, kwa lugha nyepesi ni kuleta vitu visivyo eleweka na tofauti na lengo la kitu husika,
Demu mzuri kwa maana mrembo mwenye umbo zuri asiye na maradhi na kadhalika wakadha
Demu nafikiri we unafahamu namaanisha ila umeamua tu kuuliza.
 
Hehehhee Msichana bana, nyi mbona mnazingua?
 
Ok pande zenu mi niko mbona,,,:biggrin1:
 
Wice mbona huja ni inbox nasubiri inbox yako now zimefika 20, lakini zenye picha ni nne tu sasa Recruitment inakaribia kuanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…