Natafuta fundi ujenzi mzuri mwaminifu

Natafuta fundi ujenzi mzuri mwaminifu

Kelo

Member
Joined
Oct 15, 2011
Posts
6
Reaction score
4
Ndugu zangu wa Jamii,

Natafuta fundi ujenzi mzuri na mwaminifu. Awe na experience ya kutosha kujenga kwa kufata ramani ya nyumba. Eneo ni kibaha karibu na halmashaur.

Asanteni sana
 
Ndugu zangu wa Jamii, natafuta fundi ujenzi mzuri na mwaminifu. Awe na experience ya kutosha kujenga kwa kufata ramani ya nyumba. Eneo ni kibaha karibu na halmashaur. Asanteni sana
Mtafute fundi huyu anaitwa Juma. Simu 0655 440 059. Anakaa Kibamba.
 
Ndugu zangu wa Jamii,

Natafuta fundi ujenzi mzuri na mwaminifu. Awe na experience ya kutosha kujenga kwa kufata ramani ya nyumba. Eneo ni kibaha karibu na halmashaur.

Asanteni sana
Mkuu kwa kuwa umeanza ujenzi si siyo mbaya nikikupa namba yq plumber mzuri (fundi bomba )utaekuja kumtumia siku za usoni 0786037975 au 0712791374 anaitwa yahaya ziandike tu sehemu kaka kwa ajili ya badae hutojuta jamaa anajua mambo
 
Jaribu kutafakari nawe utaweza elewa nimemaanisha mzuri wa nini. Ukishindwa usijali nenda ukaombewe, mana yawezekana kuna nut moja ime loose kichwani
Wewe ndo unatakiwa ukaombewa kama kichwa chako kina bolt na nut.
 
Mkuu kwa kuwa umeanza ujenzi si siyo mbaya nikikupa namba yq plumber mzuri (fundi bomba )utaekuja kumtumia siku za usoni 0786037975 au 0712791374 anaitwa yahaya ziandike tu sehemu kaka kwa ajili ya badae hutojuta jamaa anajua mambo
Nashukuru sana Mkuu
 
Ndugu zangu wa Jamii,

Natafuta fundi ujenzi mzuri na mwaminifu. Awe na experience ya kutosha kujenga kwa kufata ramani ya nyumba. Eneo ni kibaha karibu na halmashaur.

Asanteni sana
Watafute UVIMO group.

0629361896 -kupiga
0753927572 -whatsapp

Ni wazoefu,
Kuanzia

KUCHORA ramani,
Kusoma ramani
Kujenga kwa ramani
Kuoaua
Tiles
Plasta
Rangi
Bombsa/plumbing
Umeme

N.k
 
Back
Top Bottom