melchior
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 230
- 214
Habari wana Jukwaa,
Natafuta fundi mzuri wa gari tajwa hapo juu. Ni gari la kazi, Mwanzoni liliua mechanical fuel pump tukawa tunatumia ya umeme. Nikanunua mechanical pump nyingine lakini ikafa kwa sababu haikuwa ginuine. Ikabidi nitafute ya umeme ambayo inawasha gari lakini gari linakuwa na miss.
Fundi wangu ameligusa gusa sana mpaka kafika point anafungua hadi ma nozzle bila mafanikio, gari bado lina miss . Naomba kama kuna mtaalamu anaye jua vizuri systeam ya umeme na mafuta wa hii gari anipigie 0766925042
Vigezo na masharti kuzingatiwa as nitaku challenge maswali ya hapa na pale kutest knowledge ya hilo gari kwani nime google najua vitu vingi sana .
NIMEAMBATANISHA MLIO WA GARI KUONYESHA MISS
Natafuta fundi mzuri wa gari tajwa hapo juu. Ni gari la kazi, Mwanzoni liliua mechanical fuel pump tukawa tunatumia ya umeme. Nikanunua mechanical pump nyingine lakini ikafa kwa sababu haikuwa ginuine. Ikabidi nitafute ya umeme ambayo inawasha gari lakini gari linakuwa na miss.
Fundi wangu ameligusa gusa sana mpaka kafika point anafungua hadi ma nozzle bila mafanikio, gari bado lina miss . Naomba kama kuna mtaalamu anaye jua vizuri systeam ya umeme na mafuta wa hii gari anipigie 0766925042
Vigezo na masharti kuzingatiwa as nitaku challenge maswali ya hapa na pale kutest knowledge ya hilo gari kwani nime google najua vitu vingi sana .
NIMEAMBATANISHA MLIO WA GARI KUONYESHA MISS