Natafuta fundi wa laptop

bishoke

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2010
Posts
274
Reaction score
52
Msaada kwenye tuta wana JF.
Natafuta fundi mzuri wa laptop ambaye anaweza kunisaidia kurekebisha laptop yangu yenye tatizo la kutokutambua (recognize) betrii wakati ikiwa kwenye umeme. Bila umeme batrii haifanyi kazi.

Asante sana, napatikana hapa 0784 398893
 

Asante sana.
Ni hp compaq 2510p. Hawa wanayo utility ya kupima afya ya betri na baada ya kuipima ilisema betri inahitaji kubadilishwa. Nimenunua betri nyingine tayari lakini baada ya kuifunga laptop ikawa ina leta ujumbe kuwa batrii haiwi recognized, hata nikirudisha ya kwake ya mwanzo nayo kwa sasa haiwi recognized. Kuitumia mapak iwe kwenye umeme.
Naamini naweza kupata mtaalamu wa kunisaidia kutatua tatizo langu.
 

Power Computers elia complex Zanaki street
 

Umeme wenyewe wa mgao ndio maana huwechangii sana mada hapa chamvini pole sana mkuu ila jaripu power computers au sukari house ground floor wapo jamaa pale wanatengeneza vitu hivyo
 

soma vizuri hiyolink niliyokupa kuna kitu kinaitwa calibration nimewai kufanya support yenye tatizo kama kama hiyo ya HP nx9600. mwenyewe aliddhani kuna tatiz kubwa kumbe wala baada ya kusomasite ya HP na kujaribu jaribu mambo yalikuwa sawa

Ukisoma vizuri kwenye site ya HP utapata suluisho. sina uhakika kama ndiyohiyo calibration au la but relax soma vizuri HP wana support site nzuri naina info zote

But kama unaona kazi kusoma maelezo ya ki technical basi tafuta fundi
 
Kutokana na maelezo yako hata hiyo Betri nyingine pia si nzima;
Hata hivyo unaweza kuwasiliana na Arif kupitia 0715384258
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…