Natafuta fundi wa Pressure Washer za magari

Natafuta fundi wa Pressure Washer za magari

Isaack Newton

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
594
Reaction score
291
Habari wakuu.! Natafta mtu anayejua kutengeneza pressure washer ya magari. Tatizo la machine ni kile kichwa chenye pistoni kinachosukuma maji yatoke kwa presha Kali, kina changanya maji na oil, nimetafta seal ili nibadilishe lakini hazipatikani.

Kwenye ufundi huo au kama una mshikaji ana ujuzi huo anicheki, nipo mbezi beach. 0679478758

16190642554531056263042.jpg
1619064404993547641098.jpg
 
Habari wakuu.! Natafta mtu anayejua kutengeneza pressure washer ya magari. Tatizo la machine ni kile kichwa chenye pistoni kinachosukuma maji yatoke kwa presha Kali, kina changanya maji na oil, nimetafta seal ili nibadilishe lakini hazipatikani.

Kwenye ufundi huo au kama una mshikaji ana ujuzi huo anicheki, nipo mbezi beach. 0679478758

Mcheki jamaa huyu 0652 909 339 ana duka la kuuza hizo mashine Kariakoo na spea zake.
 
Back
Top Bottom