Natafuta gal wa kwenda nae club tonight.

Natafuta gal wa kwenda nae club tonight.

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
Kama upo fresh,tupia pamba zako zile za 'lawama' then nipm nikupe contacts. Sitegemei kupata coment ya boyz
 
Nitumie picha nione kama unafaa "kutoka" na mimi.
 
Budget yako shilingi ngapi? Nijue kama unaweza kutoka na mm!
 
tupe wadhifa na card ngapi za bank na usafiri unaotumia ni wa aina gani ?
 
mwambie full picture na aeleze urefu wake!isije ikawa dj mwenyewe kama aki na ukwa na wewe kama mama g!

jamani wewe kama uko free npm nikupe mawasiliano then 2onane kama hutanivutia nakupa kifuta jasho.Then unasepa.Wifi yenu yupo mbal leo ndo maana npo lonely
 
Twenzetu 84, tunaanzia chako ni chakn kula vyuku.
 
Back
Top Bottom