Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Kama upo fresh,tupia pamba zako zile za 'lawama' then nipm nikupe contacts. Sitegemei kupata coment ya boyz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitumie picha nione kama unafaa "kutoka" na mimi.
Unapatikana mji gani hivi?
JF kuna wake za watu
Haya, kila la kherihapa hapa dar saa lamu
Nitumie picha nione kama unafaa "kutoka" na mimi.
Dah! Does it matter Cutie?tupe wadhifa na card ngapi za bank na usafiri unaotumia ni wa aina gani ?
Budget yako shilingi ngapi? Nijue kama unaweza kutoka na mm!
Umekosea kutaja. unaenda club gani?100,000
mwambie full picture na aeleze urefu wake!isije ikawa dj mwenyewe kama aki na ukwa na wewe kama mama g!
Umekosea kutaja. unaenda club gani?
:violin::violin:
wewe ndio uni2mie pic yako.Coz usije kuntia aibu buree hb wa watu