SUYA Senior Member Joined Jun 24, 2009 Posts 131 Reaction score 21 May 15, 2010 #1 Ya kuanzia mwaka 2001 isiwe na tatizo lolote.ambayo haijawahi kupata ajali ya aina yoyote
RRONDO JF-Expert Member Joined Jan 3, 2010 Posts 55,727 Reaction score 123,094 May 15, 2010 #2 SUYA said: Ya kuanzia mwaka 2001 isiwe na tatizo lolote.ambayo haijawahi kupata ajali ya aina yoyote Click to expand... ya 2010 itakufaa ongeza bajeti
SUYA said: Ya kuanzia mwaka 2001 isiwe na tatizo lolote.ambayo haijawahi kupata ajali ya aina yoyote Click to expand... ya 2010 itakufaa ongeza bajeti
S sijafulia Member Joined Mar 26, 2010 Posts 86 Reaction score 2 May 15, 2010 #3 www.jpanesevehicles.com ama kwa wahindi kwa bei hiyo mpaka chumban
Original Pastor JF-Expert Member Joined Nov 14, 2007 Posts 1,274 Reaction score 51 May 15, 2010 #4 ninayo Suzuki Kei bei nauza 8M ya mwaka 2002:A S clock:
J JAY2da4 JF-Expert Member Joined Nov 11, 2008 Posts 213 Reaction score 157 May 23, 2010 #5 Tuwasiliane kwa namba hii ; TEL: 255 22 277 1316
Ngorunde Platinum Member Joined Nov 17, 2006 Posts 4,672 Reaction score 9,806 May 25, 2010 #6 Wandugu ninataka kununua gari aina ya MITSUBISHI GDI, tafadhalini mwenye taarifa zozote mbaya/nzuri kuhusu aina hii ya gari anijuze. Gari ni nzuri kwa muonekano ila sioni watu wengi wakiwa aina hii kama ilivyo ESCUDO. NInatanguliza shukurani
Wandugu ninataka kununua gari aina ya MITSUBISHI GDI, tafadhalini mwenye taarifa zozote mbaya/nzuri kuhusu aina hii ya gari anijuze. Gari ni nzuri kwa muonekano ila sioni watu wengi wakiwa aina hii kama ilivyo ESCUDO. NInatanguliza shukurani