C.K
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 394
- 164
kichwa cha somo hapo juu chahusika.. kwa aina nyingine iwe ni toyota tu isipokuwa hizi aina ya mark II sijui na nyinginezo zinazotumika sana kama za tax (hizo hapana). bei taja bei, mwaka na umbali iliyotembea. bila kusahau rangi na transmission type yake (automatic tu)