Natafuta gari la kununua - fielder, spacio, nadia, opa, ipsum au wish

Natafuta gari la kununua - fielder, spacio, nadia, opa, ipsum au wish

C.K

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
394
Reaction score
164
kichwa cha somo hapo juu chahusika.. kwa aina nyingine iwe ni toyota tu isipokuwa hizi aina ya mark II sijui na nyinginezo zinazotumika sana kama za tax (hizo hapana). bei taja bei, mwaka na umbali iliyotembea. bila kusahau rangi na transmission type yake (automatic tu)
 
kichwa cha somo hapo juu chahusika.. kwa aina nyingine iwe ni toyota tu isipokuwa hizi aina ya mark II sijui na nyinginezo zinazotumika sana kama za tax (hizo hapana). bei taja bei, mwaka na umbali iliyotembea. bila kusahau rangi na transmission type yake (automatic tu)
sema offa yako uwape watu urahisi
 
kichwa cha somo hapo juu chahusika.. kwa aina nyingine iwe ni toyota tu isipokuwa hizi aina ya mark II sijui na nyinginezo zinazotumika sana kama za tax (hizo hapana). bei taja bei, mwaka na umbali iliyotembea. bila kusahau rangi na transmission type yake (automatic tu)

Nenda showroom ukaulize huko mwenyewe.

Tuna mambo mengi yamsingi ambayo tuko tunayatafutia suruhu. Uhafidhina ndani ya CDM, gharama za umeme kupanda kwa 68%, watanzania masikini kuendelea kuishi kwa ahadi hewa za CCM za maisha bora kwa kila mtanzania na mengine kama hayo.

Vichwa viko busy kuendelea kutafuta suruhu!!!
 
Corona-premio inapatikana kwa 6.5m. Kama uko sawa nicheki 071942372.
 
Nenda showroom ukaulize huko mwenyewe.

Tuna mambo mengi yamsingi ambayo tuko tunayatafutia suruhu. Uhafidhina ndani ya CDM, gharama za umeme kupanda kwa 68%, watanzania masikini kuendelea kuishi kwa ahadi hewa za CCM za maisha bora kwa kila mtanzania na mengine kama hayo.

Vichwa viko busy kuendelea kutafuta suruhu!!!

Kwanza uko wrong site with wrong claim.. utakuwa ushavurugwa na hao ccm wako.. Hivi kwanza we hujui kama kuna jukwaa la siasa na biashara humu kwe JF?!! We mgeni siyo..??? Kama unataka siasa si uende kwe jukwaa husika, eboo...!!, we vipi na njaa zako bwn. Kama huna hela hata ya baiskeli tuache wengine tutafute tunavyotaka.. Ukome kabisa kujibu pumba kwa vitu usivyoelewa na visivyokuhusu.. UKOME!!
 
unataka gari aina hizo ulotaja kuanzia bei gani tupe offer yako bestito?
kichwa cha somo hapo juu chahusika.. kwa aina nyingine iwe ni toyota tu isipokuwa hizi aina ya mark II sijui na nyinginezo zinazotumika sana kama za tax (hizo hapana). bei taja bei, mwaka na umbali iliyotembea. bila kusahau rangi na transmission type yake (automatic tu)
 
kichwa cha somo hapo juu
chahusika.. kwa aina nyingine iwe ni toyota tu isipokuwa hizi aina ya
mark II sijui na nyinginezo zinazotumika sana kama za tax (hizo hapana).
bei taja bei, mwaka na umbali iliyotembea. bila kusahau rangi na
transmission type yake (automatic tu)

nina spacio new model, namba inaanza na B, rangi nyekundu, ina ac na kila kitu. Bie 8.5M...Mawasiliano 0769 101337 uje uone mwenyewe km upo serious. Nipo Dar
 
nina spacio new model, namba inaanza na B, rangi nyekundu, ina ac na kila kitu. Bie 8.5M...Mawasiliano 0769 101337 uje uone mwenyewe km upo serious. Nipo Dar

Du.., tatizo rangi mkuu.. metalic/white/grey au dark blue poa.. ila red i dont prefer.., asante
 
Acha dharau wewe ngeke hizo gari zinazotumika kama tax unanua hayo magari unayotaka mawili,unaweza ukanunua mark x yard wewe? Unaweza ukanunua grande mark ii? Sema hela hauna usiseme ni tax!
 
Acha dharau wewe ngeke hizo gari zinazotumika kama tax unanua hayo magari unayotaka mawili,unaweza ukanunua mark x yard wewe? Unaweza ukanunua grande mark ii? Sema hela hauna usiseme ni tax!

model unazopenda wewe unafikiri kila mtu anapenda siyo? au akili yako inavyokutuma ndivyo akili za wote zinawatuma? Au wewe unaendeshwa na hisia tu nn.., we zuba siyo?! Au kwani ninavyotaka mimi ni lazima na wewe utake? Au kwa hiyo nisipotaka vile unataka wewe ni dharau siyo? Acha infiriority complex za kijinga ww kuwa vile unaamini na unavyotka kuwa...
 
model unazopenda wewe unafikiri kila mtu anapenda siyo? au akili yako inavyokutuma ndivyo akili za wote zinawatuma? Au wewe unaendeshwa na hisia tu nn.., we zuba siyo?! Au kwani ninavyotaka mimi ni lazima na wewe utake? Au kwa hiyo nisipotaka vile unataka wewe ni dharau siyo? Acha infiriority complex za kijinga ww kuwa vile unaamini na unavyotka kuwa...

Mie ni dalali ila hizo model unazotaka sina haziuziki maana wengi wanaoendesha hizo model ni mademu na kama unavyojua mashosti kuuza magari yao ni ngumu coz hela ya wese kwake sio tatizo maana kuna stakeholders wanaomuwekea mafuta,halafu sijakwambia kama mie napenda hizo model nimechangia coz ya dharau uliyoonyesha,kwahyo unataka kuniambia hautonunua Limousine kwasababu yanatumika sana kwenye harusi? Think big wengine hizo hizo tax ndio magari ya dream zao! Kwangu mimi vigari unavyovitaka hata bure nipewe sichukui,opa? Fielder? Ha Ha Ha Ha Ha Ha Baadae sana! Mie nshatoka kwenye Toyota!!
 
Back
Top Bottom