simon baker
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 522
- 698
Mimi fuNdi incase ulisoma juujuu hapo hizo ni vifendea kazi vyangu kama wewe ukiwa na tai na rababendi kusubiri nikija leta hela zangu uniwekee ofisin kwakoNunua tool box na tochi mkuu bila kusahau vijana wa kusukuma gari na kamba
Gym fulani hivi kuna fundi makenika alinunua fun cargo kwa 1M siku anaenda ichukua akatuita tumsaidie kuisukuma. Hiyo ilikua 2016 mpaka leo ndinga ipo na anadunda nayoNunua tool box na tochi mkuu bila kusahau vijana wa kusukuma gari na kamba
Gari ya iyo bei haiezi itwa ndinga mkuu..ist, vits,gx100,carina....na vingine vinavyoendana na ivyo....unatumia usafiri una cc1300 unaita ndingaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£ hata ukishuka funguo yake usining'inize bora uweke mfukoni tu kama lesoMkuu,unatafuta ndinga ili uweze kuwala kiulaini mademu zetu.
Kila la heri fundi mkuu.
Yeye anataka kitu kinaitwa gari mkuu ata Corolla atanunuaKwa hii budget unaweza kupata bajaji mpya kabisa.
Asante msemaji wangu wa kujitolea....updates..nakagua vits clavia..namba D...ikifaa soon ntafunga Uzi..asanteniYeye anataka kitu kinaitwa gari mkuu ata Corolla atanunua
Watu wabishi tu ila 4M unapata ndinga fresh tu.Asante msemaji wangu wa kujitolea....updates..nakagua vits clavia..namba D...ikifaa soon ntafunga Uzi..asanteni
hahahahahahahahhaaNunua tool box na tochi mkuu bila kusahau vijana wa kusukuma gari na kamba
Bajaj mpya ni 7.6M, henzi za bajaji ya 4.5M zimepita miaka mingi!!!Kwa hii budget unaweza kupata bajaji mpya kabisa.
Tunshauri anunue piki piki boxer mpya, nayo ni chombo cha moto kitamfikisha mtoto Hospital mbeleko ikikaza.Bajaj mpya ni 7.6M, henzi za bajaji ya 4.5M zimepita miaka mingi!!!
Utapata mkuu,,mimi nilinunua Toyota Cami kwa 4.5 mil only lkn mpaka leo iko barabarani ni mimi na wese tu,tabora to Arusha kama kawa bila ttz lolote...sasa hivi napewa offer mpaka milioni 10 siuzi[emoji23][emoji23]Tafathali rejea hapo juu,
Binafsi natafuta gari ya mishe za hapa mjini.
Dondosha picha na namba nichambue
- budget 4mil
- Namba kuanzia B..japo hata Kama una A unaamin Ina thaman tupia haina shida maana mi fundi ntaikagua mwenyew
- Vits RS /ist/gx110 ndo huwa mpenz
Kwani hapigi yale mambo yetu? Maana boxer ukiziendea pupa zinakuwaisha mawinguni!!!Tunshauri anunue piki piki boxer mpya, nayo ni chombo cha moto kitamfikisha mtoto Hospital mbeleko ikikaza.
Hapo unapata bajaj zile kali used...ongeza mil2 upate bajaj mpyaTafathali rejea hapo juu,
Binafsi natafuta gari ya mishe za hapa mjini.
Dondosha picha na namba nichambue
- budget 4mil
- Namba kuanzia B..japo hata Kama una A unaamin Ina thaman tupia haina shida maana mi fundi ntaikagua mwenyew
- Vits RS /ist/gx110 ndo huwa mpenz
Nunua tool box na tochi mkuu bila kusahau vijana wa kusukuma gari na kamba
πππππππMimi fuNdi incase ulisoma juujuu hapo hizo ni vifendea kazi vyangu kama wewe ukiwa na tai na rababendi kusubiri nikija leta hela zangu uniwekee ofisin kwako