Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Security utanimbia unatak nin passport yang au kitambukisho au lesen utakacho niambie tafuat kuhus security, vitambulisho vyote navyoOfa yako. Security?
Aaah mzee hizo sio pigo zanguSio kwamba asaiv deals za kusafirisha wa Ethiopia mmehamia huku kwenye vigari vidogo 😅 😅 mnaanza play kwa low key (joke)
Seriously? Yan security ya gari iwe leseni, kitambulisho 🤣🤣🤣Security utanimbia unatak nin passport yang au kitambukisho au lesen utakacho niambie tafuat kuhus security, vitambulisho vyote navyo
Shukran Sana kakaIngia mtandaoni, zipo kampuni rasmi zinazofanya hizo biashara, utachagua gari unayotaka kati ya walizonazo na watakwambia vigezo vya kukodi gari na gharama zake.
Sifahamu haswa ni ipi ila ziko za Travel and tour, kuna Car Rentals n.k. wengi ni wahindi na waarabu.
Wako watu mmoja mmoja wanaokodisha magari yao hawa hadi uwe na refer yaani mtu amekukonekt.
Kila la kheri.
Sas mzee nimekupa option useme security nifanyaj?Seriously? Yan security ya gari iwe leseni, kitambulisho 🤣🤣🤣
Usipende kutumia neno "kaka" au "dada"!Tumia neno "mkuu"!Shukran Sana kaka
Ingia mtandaoni, zipo kampuni rasmi zinazofanya hizo biashara, utachagua gari unayotaka kati ya walizonazo na watakwambia vigezo vya kukodi gari na gharama zake.
Sifahamu haswa ni ipi ila ziko za Travel and tour, kuna Car Rentals n.k. wengi ni wahindi na waarabu.
Wako watu mmoja mmoja wanaokodisha magari yao hawa hadi uwe na refer yaani mtu amekukonekt.
Kila la kheri.
Chonde chonde mkuu...🤣Shukran Sana kaka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Usipende kutumia neno "kaka" au "dada"!Tumia neno "mkuu"!
"Kaka" Kasie!Kazi kweli.Chonde chonde mkuu...🤣
Ebu futa hii comment...😜
Ngoja lishangazi liamkenae...🤣"Kaka" Kasie!Kazi kweli.
Wewe sio mzima. U need a psychologistSas mzee nimekupa option useme security nifanyaj?
Sasa Vits inahitaji security gani😂😂😂Wewe sio mzima. U need a psychologist
Ngoja lishangazi liamkenae...🤣
Mumsamehe bure..mgeniChonde chonde mkuu...🤣
Ebu futa hii comment...😜
[emoji23][emoji23][emoji23] wee huyu ni bibi.Shukran Sana kaka