Natafuta gari ndogo ya kutembelea

Tasia I

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2010
Posts
1,223
Reaction score
193
rejeeni kichwa cha habari.
natafta gari ndogo, swift, duet, vitz, strlet n.kza type hiyo.
sema fasta kama ipo.
 
Niambie nina nissan march 1200cc imesajiliwa wiki iliyopita Tsh 9mil year 2002.
Ni PM
 
rejeeni kichwa cha habari.natafta gari ndogo, swift, duet, vitz, strlet n.kza type hiyo.sema fasta kama ipo.
mkuu, kaushauri kadogo, zingatia magari ya toyota zaidi, la sivyo usiseme hatujakuonya
 
Hapana gari kuwa dogo haina maana kwamba na bei yake ile ndogo, angalia bei ya BMW na Nissan Xtrail utapata majibu.
 
Unataka kununua au kuhongwa? Mi ninayo yakuhonga.
 
rejeeni kichwa cha habari.
natafta gari ndogo, swift, duet, vitz, strlet n.kza type hiyo.
sema fasta kama ipo.

nimetoka kuingalia leo moja kali sema maelewano hayakufikiwa. anayo swift. mpigie sim 787 611 622 au754 761 577.
 
Ila uzoefu unaonyesha wengi wanao nunua gari dogo baadaye wanazichukia na kukimbilia magari makubwa. Kuwa mwangalifu na mambo ya ukubwa wa injini cc.
 
Ninayo mercedes benz,6 doors,ukifika dau lake ni PM.
 
Mkuu,
Nakushauri usiwe na hulka ya kununua gari kwa Wabongo. Utalizwa. hata hivyo kama imekulazimu kufanya hivyo na kwa vile unahitaji gari dogo ni vizuri upate Duet and Vitz au IST, hapa nina maana ya TOYOTA product.
Kuhusu bei, tafadhali usikubali kununua gari ya aina moja wapo hapo juu inayozidi 6m. Ikizidi 6m ni afadhali uagize mwenyewe Japan and will cost you estimate ya 7.8 hadi 8.2 ( But this time at your own choice and preference)
Kumbuka single user vehicle ni poa kuliko multiple users.
Take Care
 
th

Na huu ushuru uliopanda kuanzia mwezi huu bado itamcost hela hiyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…