Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 307
- 182
Ndugu wadau wa jf natafuta gari ndogo ya kutembelea used kwa shs mil 3 cash, sina zaidi ya hapo mwenye kujua wapi naweza kupata naomba anisaidie wakuu
Uko mkoa gani?
mwanza mkuu
Gari ikifika Dar unaweza kuisafirisha kwa gharama zako?
Ndugu wadau wa jf natafuta gari ndogo ya kutembelea used kwa shs mil 3 cash, sina zaidi ya hapo mwenye kujua wapi naweza kupata naomba anisaidie wakuu
uko mkoa gani?
Kuna dealer mmoja anaitwa Tyta ngoja niwasiliane nae.kuwa mvumilivu utapata value for money just hold on.
MKUU YARD YETU IMERUN OUT OF STOCK....NDIO TUNA PROCESS ORDER TOYOTA
tutaharibu soko mkuu hakuna hata ka bajaj aanze nako huyu mheshimiwa. Au hilo contena tulikate na kulifanyia modification.kuweka matairi etc