Unashangaa mkuu, zipo teh teh! Hiyo bei ya Jp+usafiri+kodi=4.5M. kakiberiti ukikaa kama umekalia kigogo!...teh teh.Huu ni uongo.
Jiandae kuwa mteja wa garage mala kwa mala kwa hiyo bei yako
Ongeza dau utapata gari zuli lisilo na usumbufu
Natafuta Gari Saloon ya injini ndogo bei isizidi 4mil...
Hapo pekundu sijaelewa somo
Unashangaa mkuu, zipo teh teh! Hiyo bei ya Jp+usafiri+kodi=4.5M. kakiberiti ukikaa kama umekalia kigogo!...teh teh.
si uongo ni kweli kabisa...Huu ni uongo.
lolz!Au kitu Babywalker!!!!!