mohamed habibu
Member
- Jun 16, 2019
- 28
- 14
Sio kweli chief hao wasio jielewa ila kama mtu inajielewa na kujitambua nin unafanya na unafanya kwa ajili gani huwezi fanya masiharamnakujaga mikono nyuma ila mkishapata ss,kama sio nyie vile....
Sent from my Infinix X571 using JamiiForums mobile app
Asante...kwa nn hawataki kujilikana sasaHongera sana ndugu kwa kutafuta ajira.
Tatizo watu humu nikama wasio julikana tu hawataki kujuikana.
Porte vipNatafuta gari ya kupeleka hesabu kwa boss
*Account ya uber ninayo
*Account ya bolt ninayo
*Leseni ya udereva ninayo
*Tutaandikishiana kwa mjumbe pamoja na serikali za mitaa kwa umanifu zaidi
*Nitamleta na mdhamini wangu kwa ajiri ya umanifu pia
Kwa yoyoye yule ambae yuko tayari basi naomba awasiliane na mimi kupitia
0719013003 , 0622941452
Mohamedhabibu075@gmail.com
Inaweza kufanyia kazi boss wanguPorte vip
Natafuta gari ya kupeleka hesabu kwa boss
*Account ya uber ninayo
*Account ya bolt ninayo
*Leseni ya udereva ninayo
*Tutaandikishiana kwa mjumbe pamoja na serikali za mitaa kwa umanifu zaidi
*Nitamleta na mdhamini wangu kwa ajiri ya umanifu pia
Kwa yoyoye yule ambae yuko tayari basi naomba awasiliane na mimi kupitia
0719013003 , 0622941452
Mohamedhabibu075@gmail.com
Niko dar es salaamUpo mkoa gani.????!
HesabuInaweza kufanyia kazi boss wangu
Ni gari ya aina gani inafaa kwa hiyo kazi ?Niko dar es salaam
Ractius,ist,sienter,vits, yaani kifupi kuanzia engine capacity cc 990 mwisho 1490Ni gari ya aina gani inafaa kwa hiyo kazi ?
Oooh iliyopo ina cc 1600Ractius,ist,sienter,vits, yaani kifupi kuanzia engine capacity cc 990 mwisho 1490
Gari gani iyoooOooh iliyopo ina cc 1600
Oooh sorry ni cc 2000, Noah townaceGari gani iyooo