natafuta gari ya kununua

natafuta gari ya kununua

luhinda

Member
Joined
May 28, 2010
Posts
5
Reaction score
0
habari wana jamii..natafuta gari aina ya toyota vitz, carina, rav 4(3doors), raum...iwe nzuriambayo haijatumika sana...my budget is 4mil...
contact 0712 392134
 
habari wana jamii..natafuta gari aina ya toyota vitz, carina, rav 4(3doors), raum...iwe nzuriambayo haijatumika sana...my budget is 4mil...
contact 0712 392134

Ongeza dau nikuletee mkoko
 
uko mkoa gani? hayo magari uliyotaja hiyo bei si utapewa skrepa....well lete mil 7 nikupatie vitz imeingia nchini June
 
Lete 7.5 mil Toyota Platz haijatumika kabisa(B reg.),7mil Forrester very goog condition,6mil Toyota Lucida very good condition,buy and drive away!
 
dah kweli huu mwaka itabidi niumalizie tu kwa daladala cz kumbe gari ndiyo bei hivyo...haya
 
dah kweli huu mwaka itabidi niumalizie tu kwa daladala cz kumbe gari ndiyo bei hivyo...haya

Hahahaha jipange kijana ukitaka ya m.4 kila week uwe tayari kushinda gereji ipo ya m.3 upo tayari?
 
Fidel,
Kwanini binadamu hujitakia matatizo?Kukomboa gari katika aliyoyasema hapo juu(duties,port charges na registartion)in total inazidi bei hiyo hapo juu.
Sasa ukitangaza unataka gari ya bei hiyo basi uwe tayari kununua gari la wizi (mtu kauawa kesi ikuangukie), BOVU -KILA SIKU GARAGE(ujikute hizo 3 million unazo save zinarudi kupitia garage na familia ife njaaa) au ....................Jamani wa TZ sio matajiri kama Europe au US, ukiona mtu anasema anakuuzia kitu bei ya kutupa jua hicho kitu kiiishakitumia na sasa ni cha kutupa, kwa hiyo ni bora ukawa macho.
 
Mimi ninayo Suzuki Escudo nomade bei M.14, Rau M.9 Vitz M.8 kama upo tayari magari yanaingia mwezi huu kutoka Japan
 
ahahahahahaaaa...mkuu hapa kwa hiyo 4m yako hupati gari...ila kama vipi nipigie kiaina nikupe mchongo upate magari mapya ya voda...si unajua kila kitu hapa mjini dili...vuta mkoko wa voda watu wale hiyo 4m yako walinde hishma zao kwa nyumba ndogo na baaa... mujini mipango ..ohhh..habari yako banyaaaaaaaa
 
ahahahahahaaaa...mkuu hapa kwa hiyo 4m yako hupati gari...ila kama vipi nipigie kiaina nikupe mchongo upate magari mapya ya voda...si unajua kila kitu hapa mjini dili...vuta mkoko wa voda watu wale hiyo 4m yako walinde hishma zao kwa nyumba ndogo na baaa... mujini mipango ..ohhh..habari yako banyaaaaaaaa

nimeipenda hii
 
Ndugu yangu kiukweli kwa 4m hapo ni kitu used ya bongo..sio used ya Japan...hapo hata kwa 2.5 unapata gari ila ndio ishatumika sana...yani tunaongelea gari ilokwenda km zaidi ya laki 5 hata milioni...ila kama unataka usafiri unapata gari standard kwa hiyo 4m yako ila uwe na fundi aikague kabla hujaichukua...kama unataka gari ndio ujivute walau m5 kuendelea...najua sehemu unakoweza pata USAFIRI kwa bei hiyo..kama vp nichek nikupe mchongo ila uwe unaweza pia kuendesha manual japo hazipendwi na madereva wapya wa kisiku hizi.
 
mi ninayo jiyo starlet ntakuuzia kwa sh million 1.5 ila ntakutambulisha pia na mafund ufahamiane nao na garage ambayo wameizoea hiyo gari. usidhan ina tatizo la hasha bas tu ndugu yangu nauza sabab nahitaj sana pesa.
 
Jamani nyie vipi??mwenyewe anataka la ml4 mnafikiri ajui bei??anajua yeye anatakala 4ml mtafutieni ya bei hiyo!wabongo kwakuingilia maisha ya watu hamjambo!basi mmpangie hata menu ya nyumbani kwake!Basi luhinda mimi nina GRAND MARKII 6CYLINDER!BEI 4.5ml sema?!
 
ahahahahahaaaa...mkuu hapa kwa hiyo 4m yako hupati gari...ila kama vipi nipigie kiaina nikupe mchongo upate magari mapya ya voda...si unajua kila kitu hapa mjini dili...<b>vuta mkoko wa voda watu wale hiyo 4m yako walinde hishma zao kwa nyumba ndogo na baaa</b>... mujini mipango ..<b>ohhh..habari yako banyaaaaaaaa</b>
Habari yake banaaaa!!
 
mi ninayo jiyo starlet ntakuuzia kwa sh million 1.5 ila ntakutambulisha pia na mafund ufahamiane nao na garage ambayo wameizoea hiyo gari. usidhan ina tatizo la hasha bas tu ndugu yangu nauza sabab nahitaj sana pesa.
Acheni bwana mnajua nakunya valuu ikinipalia???maana nacheka mbavu sina baa wananishangaa!!
 
Back
Top Bottom