Natafuta genuine Nokia 95 8GB

BabaDesi

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2007
Posts
6,122
Reaction score
4,060
Nimepata maumivu baada ya kuisahau mahali kwa sekunde chache simu yangu ya Nokia 95, niliyokaa nayo kwa miaka minne na niliyoipenda sana hasa kutokana na camera yake ya 5.8 pixels, ikapata 'Muwekezaji'!

(Napinga sana Vibaka kupigwa kiberiti lakini huyu, ningechangia petroli!)

Anyway, Ninaomba kujua ni wapi ninaweza kupata genuine Nokia 95 8GB na bei yake. Natanguliza Shukurani.
 
Pole sana. Natumia simu kama hiyo, it is one of the best phones Nokia has ever made. Ni PM tuone kama ninaweza kukusaidia.
 
...Mkuu Dingswayo, Nashukuru kupata shabiki mwingine wa Nokia95. Hii simu kwa kweli walijitahidi. Nimeku-pm. Lete maneno!
 
Pole sana kaka! Hatamimi natumia simu kama hiyo mara kuiona dukani ilikuwa 6,50,000/=. Iwapo utapata nyengine ni PM kuna software unatakiwa u install kwenye simu yako kama mwizi au alieikona sio mtaalam, kuna 75% ya kuipata simu. Niliitumia software hiyo kwenye my old phone nokia n70. Baada ya siku 6 simu ilipatikana.
 
mpenzi wa N95 8GB NINGEPENDA KUKUSAIDIA KAMA UPO SERIOUS NA HII SIMU NIPO NAYO KARIBU NAMPYA MIMI SIKUIPENDA KUTOKANA NA UNENE WAKE NIMEIWEKA TU NATEGEMEA KUSHUKA BONGO TAREHE 20 MWEZI HUU WEKA LAKI NNE TU KWA AJILI YA POCKET MONEY YANGU NIKUACHIE SITANII .IPO NA GENUINE LETHER CASE ,HEAD PHONE , ORIGINAL CHARGER NA CD BOX SITABEBA KAMA UPO SERIOUS WEKA NO YA SIMU πŸ˜›ound:
 

BinMgen, Nimeshukuru kwa ushauri wako. mara tuniikishika mkononi nitakuPM unipatie hiyo software. Naiona ni muhimu sana. Roughly, inafanyaje kazi? Inatoa aina fulani ya signal kila ilipo ama?
 

...Nimekusikia Mkuu! Namba ya Simu hiyo hapo....!πŸ˜›ound:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…