Natafuta girl friend ambaye atakuta kuwa mke wa ndoa,sitanii i'm serous

Natafuta girl friend ambaye atakuta kuwa mke wa ndoa,sitanii i'm serous

Joined
Oct 26, 2012
Posts
93
Reaction score
22
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,naishi dar-es-salaam.umefika muda muafaka wa mimi kuwa na mtu wa kutengeneza naye future yetu,lakini awe na sifa zifuatazo

  1. awe na umri kati ya miaka 18-20
  2. good physical appearance and facial expression
  3. angalau awe amemaliza form 4 na kuendelea
  4. mkristo ambaye ni mcha mungu wa ukweli
  5. awe na mpenzi ya kweli.
 
Umri huooo
huo uchumba utadumu kwa miaka mingapi mpaka muoane??
 
Back
Top Bottom