sawa mkuu nimekuelewaPanda Basi la Super Feo/Selous/Tavavil/New Force ukifika Songea mjini zunguka mitaa ya Majengo,Cd farm,Manzese,Msamala,Bomba mbili,Matarawe,Ruhuwiko ukamtafute huyo mwanamke umtakaye.
Ukikosa ingia mpaka Namabengo,Mpitimbi,Mlilayoyo,Peramiho,Hanga na Matili.
Bambo pambana,kweli utawaweza wadala(wanawake) wa kingoni.
Hahahaahaha msukuma hapana asee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana lol. Wee tuache bhana wangoni hii fursa ni yetu khaah.Panda Basi la Super Feo/Selous/Tavavil/New Force ukifika Songea mjini zunguka mitaa ya Majengo,Cd farm,Manzese,Msamala,Bomba mbili,Matarawe,Ruhuwiko ukamtafute huyo mwanamke umtakaye.
Ukikosa ingia mpaka Namabengo,Mpitimbi,Mlilayoyo,Peramiho,Hanga na Matili.
Bambo pambana,kweli utawaweza wadala(wanawake) wa kingoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii fursa ni yetu sis wana wakunyumba. Mtulekayi tutangatila uhanu wene huu.Why binti wa kingoni?, una historia gani nao?, acha ubaguzi mkuu, mimi hapa binti wa kisukuma na nakuja hivo hivo.
Apu we tayar ugegiwi au bado uvili uvili Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii fursa ni yetu sis wana wakunyumba. Mtulekayi tutangatila uhanu wene huu.
Yes n mngoni.ndio na wewe ni mngoni??
karibuniApu we tayar ugegiwi au bado uvili uvili Sana
Karibu kuperamihu ulyai masuku na madonga
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nene nigegiwi lepa, ila nina mgosi nivi naku,Apu we tayar ugegiwi au bado uvili uvili Sana
Karibu kuperamihu ulyai masuku na madonga
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app