Natafuta girl.

Mbilimbili

Senior Member
Joined
Mar 17, 2012
Posts
172
Reaction score
19
Hey mambo vp, mimi ni kijana wa kiume mwenye age ya 25. Ni mhitimu wa kidato cha nne, pia mhitimu wa mafunzo ya Ufundi kwa fani ya Umeme. Kwa hiyo nimejiajiri mwenyewe. Ni mrefu wastani na mweusi wastani, pia ni mkristo. Vigezo kwa msichana atatakiwa awe yupo Kilimanjaro kama mimi, awe mweupe na mrefu wa wastani. Umri wa miaka 18-23 akiwa mkristo kama mm itapendeza, pia kama ni mhitimu wa kidato cha itakuwa poa pia. Kwa aliyeko tayari ani Pm!
 
Wenzi wako wa nyuma umeamua kuwaacha au? Pia umesema "unatafuta girl" Nini manake??? Unamaanisha ni rafiki tu au mchumba wa kuoa?? Hebu weka wazi kidogo! Ukitoa maelezo ya kihuni utajibiwa kihuni pia.
 
chukua housegal wenu ndo anakufaa .
 
Wenzi wako wa nyuma umeamua kuwaacha au? Pia umesema "unatafuta girl" Nini manake??? Unamaanisha ni rafiki tu au mchumba wa kuoa?? Hebu weka wazi kidogo! Ukitoa maelezo ya kihuni utajibiwa kihuni pia.

naanzisha mahusiano mapya, pia atakuwa mchumba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…