Jack HD
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 851
- 1,168
Good day, habari zenu wana Jamii Forums.
For a time now nimekuwa Single but Now its a perfect time kuwa na mtu ambaye tutatengeza Family. I'm very serious on this na kama kweli unatafuta mwenza mwenye sifa kama zangu basi tumekutana.
SIFA ZANGU:
Elimu Degree holder in Logistics Management
Dini Muslim, age 24.
Kazi mwajiriwa.
Sifa Nyinginezo:
Si mwembamba wala si mnene, urefu wastani,skin colour maji ya kunde, mvumilivu, msikivu, muelewa, rijali na mtanashati.
Sifa za mwanamke ninayemuhitaji maishani:
1. Awe mzuri i.e mzuri wa sura na umbo, kiukweli napenda sana shombeshombe.
2. Awe mvumilivu, msikivu na mwenye busara.
3. Dini Muslim,mwenye kujihifadhi, Age less than 25.
4. Elimu not less than form six, but sometime its depend on some factors chini ya hapo pia maombi yanakaribishwa.
N.B Nimeamua kuyatoa ya moyoni ili nipate kile kipenda roho na kama nitajaaliwa hakika nitampenda na kumthamini, Nitamwonesha namna jinsi Mwanamke anavyopaswa kupendwa.Plese if you have above mentioned qualifications please PM me asap.Maongezi zaidi yataendelea via Whatsup.Shukrani, Jioni njema.:A S 101:
For a time now nimekuwa Single but Now its a perfect time kuwa na mtu ambaye tutatengeza Family. I'm very serious on this na kama kweli unatafuta mwenza mwenye sifa kama zangu basi tumekutana.
SIFA ZANGU:
Elimu Degree holder in Logistics Management
Dini Muslim, age 24.
Kazi mwajiriwa.
Sifa Nyinginezo:
Si mwembamba wala si mnene, urefu wastani,skin colour maji ya kunde, mvumilivu, msikivu, muelewa, rijali na mtanashati.
Sifa za mwanamke ninayemuhitaji maishani:
1. Awe mzuri i.e mzuri wa sura na umbo, kiukweli napenda sana shombeshombe.
2. Awe mvumilivu, msikivu na mwenye busara.
3. Dini Muslim,mwenye kujihifadhi, Age less than 25.
4. Elimu not less than form six, but sometime its depend on some factors chini ya hapo pia maombi yanakaribishwa.
N.B Nimeamua kuyatoa ya moyoni ili nipate kile kipenda roho na kama nitajaaliwa hakika nitampenda na kumthamini, Nitamwonesha namna jinsi Mwanamke anavyopaswa kupendwa.Plese if you have above mentioned qualifications please PM me asap.Maongezi zaidi yataendelea via Whatsup.Shukrani, Jioni njema.:A S 101: