joseph jamess
Member
- Sep 5, 2013
- 79
- 10
[h=2]Natafuta girlfriend/fiance[/h]
Wanajamiiforum! mimi namtafuta girlfriend au Fiance ambaye tutaweza kupanga future yenye uhakika. Mimi nasoma BACHELOR OF LAWS mwaka wa tatu OUT University.
SIFA ZA ALIYETAYARI NI KAMA ZIFUATAZO;
Awe ana elimu kuanzia kidato cha nne
Awe mwenye kuelewa nini maana ya maisha
Awe mwenye hekima na nidhamu
Awe mpole na si mgomvi
Awe mwenye upendo wa dhati
Awe mwenye uvumilivu na mbunifu kwamba anaweza kunishauri kwa jambo lililo jema
Asiwe mwenye tamaa na kupotezeana muda
Awe na umri kati ya 20--31
ALIYETAYARI tuwasiliane kwenye namba zifuatazo: 0755 632388 au 0713 924282 au E-mail jkamala19@yahoo.com
SIFA ZA ALIYETAYARI NI KAMA ZIFUATAZO;
Awe ana elimu kuanzia kidato cha nne
Awe mwenye kuelewa nini maana ya maisha
Awe mwenye hekima na nidhamu
Awe mpole na si mgomvi
Awe mwenye upendo wa dhati
Awe mwenye uvumilivu na mbunifu kwamba anaweza kunishauri kwa jambo lililo jema
Asiwe mwenye tamaa na kupotezeana muda
Awe na umri kati ya 20--31
ALIYETAYARI tuwasiliane kwenye namba zifuatazo: 0755 632388 au 0713 924282 au E-mail jkamala19@yahoo.com