teh teh teh Bujibuji hujatekwa tu na Makirikiri wa Kijitonyama pale??Girlfriend wakike au wa kiume?
Mwenye madaraka ya kulevya ni Ndugu yanguteh teh teh Bujibuji hujatekwa tu na Makirikiri wa Kijitonyama pale??
Usijali Mimi Nina 53.. Twende sawaMimi nina 39
basi tena!
Daah nashukuru sana, ila sijui umesahau age yangu, maana hapo tu ndo nimeoverqualifyCc: espy Heaven Sent ...mseme siwajali.
Kwani jamaa kasema amatafuta ma bibifriend? Angekuwa anatafuta bibifriend angemsaka binamu yangu Madame SUsijali Mimi Nina 53.. Twende sawa
haa ha ha..wee jamaa ni mwehuGirlfriend wakike au wa kiume?