joskill Member Joined Apr 7, 2011 Posts 52 Reaction score 10 May 4, 2011 #1 natafuta msichana ambaye nataka awe partner wangu for mo info call 0713639371:israel:
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 May 4, 2011 #2 Kuna kajukwaa kenu kule juu kanaitwa Love Connect, ndio wamejaa huko! Peleka hayo maelezo na hiyo namba ya simu huko, utapata tu kule wamejaa!
Kuna kajukwaa kenu kule juu kanaitwa Love Connect, ndio wamejaa huko! Peleka hayo maelezo na hiyo namba ya simu huko, utapata tu kule wamejaa!
Asprin JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,223 Reaction score 96,083 May 4, 2011 #3 Katavi said: Kuna kajukwaa kenu kule juu kanaitwa Love Connect, ndio wamejaa huko! Peleka hayo maelezo na hiyo namba ya simu huko, utapata tu kule wamejaa! Click to expand... Hahaha...mkuu hucheleweshi....mwambie akajaribu na Fesibuku kule...kuna wauza sura lukuki.
Katavi said: Kuna kajukwaa kenu kule juu kanaitwa Love Connect, ndio wamejaa huko! Peleka hayo maelezo na hiyo namba ya simu huko, utapata tu kule wamejaa! Click to expand... Hahaha...mkuu hucheleweshi....mwambie akajaribu na Fesibuku kule...kuna wauza sura lukuki.
Husninyo JF-Expert Member Joined Oct 24, 2010 Posts 23,851 Reaction score 9,472 May 4, 2011 #4 "Simu ya mteja unayopiga, haipo. Tafadhali, usijisumbue tena"
C chiefthinker Member Joined Apr 21, 2011 Posts 31 Reaction score 5 May 4, 2011 #5 Nani alimwambi siku hizi girlfriend anatafutwa,siku hizi wao ndo wanatafuta,kama vp ajaribu Samunge!
mama D JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 19,981 Reaction score 35,581 May 4, 2011 #6 unajua kwenye jamii forum kuna watu gani!!!???........................... great thinker lakini si wa kutafuta wapenzi!
unajua kwenye jamii forum kuna watu gani!!!???........................... great thinker lakini si wa kutafuta wapenzi!
mama D JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 19,981 Reaction score 35,581 May 4, 2011 #7 unajua kwenye jamii forum kuna watu gani!!!???........................... great thinker lakini si wa kutafuta wapenzi!
unajua kwenye jamii forum kuna watu gani!!!???........................... great thinker lakini si wa kutafuta wapenzi!
C chiefthinker Member Joined Apr 21, 2011 Posts 31 Reaction score 5 May 4, 2011 #8 Ona sasa mpaka Mama D anakushangaa!
SEE Member Joined Mar 14, 2011 Posts 12 Reaction score 1 May 11, 2011 #9 Mbona hili jukwaa ndio love connect? Unataka akaulize wapi? Hapa ndipo mahali sahihi pa swali lake.
joskill Member Joined Apr 7, 2011 Posts 52 Reaction score 10 May 22, 2011 Thread starter #10 SEE said: Mbona hili jukwaa ndio love connect? Unataka akaulize wapi? Hapa ndipo mahali sahihi pa swali lake. Click to expand... me nawashangaa hao, me niko mahali penyewe kama hawataki c wakae kimya, alllah!!!
SEE said: Mbona hili jukwaa ndio love connect? Unataka akaulize wapi? Hapa ndipo mahali sahihi pa swali lake. Click to expand... me nawashangaa hao, me niko mahali penyewe kama hawataki c wakae kimya, alllah!!!
blackdog Member Joined Jan 9, 2011 Posts 89 Reaction score 8 May 22, 2011 #11 utapata uwe mvumilivu tu.mweka date line usije ukawakimbia wakijitokeza wengi.......
blackdog Member Joined Jan 9, 2011 Posts 89 Reaction score 8 May 22, 2011 #12 mchumba bila vigezo ukipata asiye na sifa utafanya je? ukimkataa bila sababu utaonekana ulikuwa unawasanifu wajitokeze uwachore tu, kuwa makini na suala lako.
mchumba bila vigezo ukipata asiye na sifa utafanya je? ukimkataa bila sababu utaonekana ulikuwa unawasanifu wajitokeze uwachore tu, kuwa makini na suala lako.
S Sharo hiphop JF-Expert Member Joined May 17, 2011 Posts 660 Reaction score 104 May 23, 2011 #13 Hivi hata kusoma majina ya majukwaa mnashindwa? Kama vipi vaa miwani uelewe vizuri sehemu ya kutafuta wachumba.
Hivi hata kusoma majina ya majukwaa mnashindwa? Kama vipi vaa miwani uelewe vizuri sehemu ya kutafuta wachumba.