natafuta girlfriend

natafuta girlfriend

CHEF

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2013
Posts
222
Reaction score
122
Natania tu, jamani isije ikawa serious saana kuhusu huu uzi , awe miaka (16-20) , maana usiozee jela
 
.....mnh, jamaa mwenyewe yupo University....
Sijui ni mkaazi wa huko, au amekwenda tu mara moja, au ni muajiriwa....

Mashaka matupu hii #Mitandao ...

hahaaaaa mitandao ina mengi.....ukute ye alifanya kazi weeeeee sa hivi kaamua

kusoma ndo anatafuta girlfriend miaka 16-20......kazi kweli kweli
 
wanajf natafuta a girlfriend mimi npo university sasa awe ana umri 16-20

Acha kutuchanganya! Nenda Facebook. Huku JF acha watu wenye akili tuendelee kujadili mambo ya maana ya mstakabali wa Taifa hili.
 
Back
Top Bottom