Huko mtaani kwenu umekosa?. Jaribu kuzunguka makanisa na misikitini utangaze nia yako. Ni bora kuliko hapa JF.
sifa zote ninazo sema mimi sio graduate
Awe mchaMungu, umri usizidi miaka 27, awe tayari kupima VVU, mweupe au maji ya kunde, mrefu wasitani, asiwe na watoto na hajawahi kuzaa au kuolewa, mtanzania, mzuri wa umbile, mcheshi, wafanyakazi wa benki au wahasibu watapewa kipaumbele. Kipato changu kwa mwezi ni 4m. Umri wangu 29yrs. Nawasilisha.
Weka picha yako kwanza!!warimbwende kama wakina sene... Wakuone.
Awe mchaMungu, umri usizidi miaka 27, awe tayari kupima VVU, mweupe au maji ya kunde, mrefu wasitani, asiwe na watoto na hajawahi kuzaa au kuolewa, mtanzania, mzuri wa umbile, mcheshi, wafanyakazi wa benki au wahasibu watapewa kipaumbele. Kipato changu kwa mwezi ni 4m. Umri wangu 29yrs. Nawasilisha.
Awe mchaMungu, umri usizidi miaka 27, awe tayari kupima VVU, mweupe au maji ya kunde, mrefu wasitani, asiwe na watoto na hajawahi kuzaa au kuolewa, mtanzania, mzuri wa umbile, mcheshi, wafanyakazi wa benki au wahasibu watapewa kipaumbele. Kipato changu kwa mwezi ni 4m. Umri wangu 29yrs. Nawasilisha.
Wataalamu wanasema bikira ya mwanamke inaweza kutoweka bila ya hata kukutana na mwanaume hivyo hicho siyo kigezo muhimu.Mbona hujasema je awe bikra?au vyovyote poa 2.
mimi ni professionalHiyo ni sifa mojawapo muhimu.
Nina dada yangu sifa zote anazo ila yeye kipato chake ni 6m kwa mwizi cjui unasema je hebu niku pm kwanza.
jamani mbavu zangu za kushoto mieee!!nına rafk angu nı banker,graduate(accountıng) na nı mweupe wa kung'aa sıo calorıter! Nı mcheshı sana aısee,sema sasa anatıtı moja na ınasemekana nı mlozı balaa karıthı mıkoba ya bıbı yake huko kwao nyasa na sometımes hulımwaga kojo kwakıtanda!je, nıkuconnect?
Huyo hatutaweza ishi maana muda wa kufundishana usafi sitakuwa nao. I'm too busy.Nına rafk angu nı Banker,Graduate(Accountıng) na nı Mweupe wa kung'aa sıo calorıter! Nı mcheshı sana aısee,
Sema sasa anatıtı moja na ınasemekana nı mlozı balaa karıthı mıkoba ya Bıbı yake huko kwao Nyasa na sometımes hulımwaga kojo kwakıtanda!
Je, nıkuconnect?