Asante mkuu kwa ushauri wako. Tatizo la vijijini wengi walikimbia umande! Sidhani kama watakuwa na vigezo vyote. Ila nitalifanyia kazi mkuu.Du mkuu hicho kipato chako kinawadatisha watoto wa kike sidhani kama utapata wa ukweli hapa ila cha kukushauri tembelea mikoani vijijini kuna mabinti wazuri sana kwa kuoa hawa wa mijini wengi magumashi
Nina wasiwasi na uwepo wako humu! JF ni mahali pa watu wastaarabu walioenda shule. Sifa mojawapo ya intellectuals ni kujadili kwa hoja na si kwa lugha chafu kama hizi. Hata hivyo kama huna la kuchangia unaweza kukaa kimya.Yani we package ya 4m ndo umeona lamaana!? Mbona hujasema sifa zako nyingine kama ulivooredhesha ya hyo mwanamke!? Ki..ma wengine bna!!
Zakiah, sina maana ya kujikweza kuhusu kipato changu la asha! Ni kipato kidogo sana na ndiyo maana ninafanya kazi maana kipato kikitosha huwezi kufanya kazi tena. Hata ingekuwa 1m ningeweka wazi. Ni jambo la kawaida kabisa kumwambia mtarajiwa wako kipato chako ili ajue maisha mtakayoishi hapo baadae.sidhani kama suala la kutaja mshahara ndio muhimu coz mapenzi sio pesa kuna watu wanashindia dagaa but wanapenda balaa. chamsingi omba Mungu akusaidie upate mtakaeishi kwa amani hata kama hana kipato kikubwa. halafu wahasibu na hao wa benki wanakutana na watu wako vizuri mil.4 yako cha mtoto tu.
Awe mchaMungu, umri usizidi miaka 27, awe tayari kupima VVU, mweupe au maji ya kunde, mrefu wasitani, asiwe na watoto na hajawahi kuzaa au kuolewa, mtanzania, mzuri wa umbile, mcheshi, wafanyakazi wa benki au wahasibu watapewa kipaumbele. Kipato changu kwa mwezi ni 4m. Umri wangu 29yrs. Nawasilisha.
Nimekupata.ok but hujampata bado ilibidi umpate ndio umwambie kipato chako. utamaduni huo bongo hatuna wakujieleza sana mi nakueleza tu hata ukimpata huyo mamaa usiwe mtu wa kujieleza sana tabia iishie hapa my bro utakimbiwa na mashemejio. mambo yako chumbani na mkeo sawa? yale masuala ya kujadiliwa au kuchangiwa na wote ndio uchangie sawa? watu wanasema tabia ni kama ngozi but jitahid utachange,samahani kwahilo ila kuwa mpole kwenye kujielezea utaokota boya humu. GOD bless u n all da best.
Umechelewa ungebandika tangazo pale UDSM sasa basi wamesha tawanyika
Na 2losoma procurement je?...
Ende akabandike tangazo lake COET..........:]
umeona mbali mnooooooooooo nimefurai ulivomjibuHuko mtaani kwenu umekosa?. Jaribu kuzunguka makanisa na misikitini utangaze nia yako. Ni bora kuliko hapa JF.