Hivi Aminata, una maana hata wewe hujatulia b'se uko Jf? Hayo ni mawazo mgando. Jf ni kama mahali pengine wazuri na maboya wapo. Wangapi wako huko makanisani na ni makahaba wa kutupwa?umeona mbali mnooooooooooo nimefurai ulivomjibu
Siyo type yangu.we shida yako kutusua si useme tu unaingizia gia ya kuoa nenda kaweke tangazo lako pale ambiance
Awe mchaMungu, umri usizidi miaka 27, awe tayari kupima VVU, mweupe au maji ya kunde, mrefu wasitani, asiwe na watoto na hajawahi kuzaa au kuolewa, mtanzania, mzuri wa umbile, mcheshi, wafanyakazi wa benki au wahasibu watapewa kipaumbele. Kipato changu kwa mwezi ni 4m. Umri wangu 29yrs. Nawasilisha.
coET tena!! Labda Udbs huku ndo source ya @kitu.
Hi!..hop umzma kiganda,nmepata message yako inbox sasa mm kiukwel nimgen wa haya mambo ya jamiiforums nmejarbu kukujb lakn nashndwa naambiwa siwez send sms mpaka nwe nmepost cjui post tano,na cpend kupost k2 chochote hvo u rl serious u can check me thru email yangu ( dadamm23@gmail.com )....nsamehe bure cjui ku2mia jf nahuo ukwel wangu..
Awe mchaMungu, umri usizidi miaka 27, awe tayari kupima VVU, mweupe au maji ya kunde, mrefu wasitani, asiwe na watoto na hajawahi kuzaa au kuolewa, mtanzania, mzuri wa umbile, mcheshi, wafanyakazi wa benki au wahasibu watapewa kipaumbele. Kipato changu kwa mwezi ni 4m. Umri wangu 29yrs. Nawasilisha.
Kaka kwa mtindo huu hapa lazima utapata 'Tangopori'.
Upendo wa kweli ni kumpenda mtu vile alivyo na si kwa vile alivyo nayo.
Take care!