Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 842
- 3,449
Yawe Makubwa Angalau kama yale ma tranka ya shule makubwa. Yawe imara/magumu. Yawe mazima sio yaliyochakaa..
Nayaonaga mara nyingi kwenye kazi za kiserikali n.k
Nishawahi kuyaona sehemu kipindi yanauzwa k.koo,
Ila Mpk leo Yule muuzaji hayupo..
Jee Cello au jambo Wanaweza kua nayoo?
Nayaonaga mara nyingi kwenye kazi za kiserikali n.k
Nishawahi kuyaona sehemu kipindi yanauzwa k.koo,
Ila Mpk leo Yule muuzaji hayupo..
Jee Cello au jambo Wanaweza kua nayoo?