Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Ukisoma uzi nimeelezea watu kama nyie ahahahahaAcha uvivu kijana nunua bundle download movie au nenda kwenye W-FI uka download hizo movie.
Kesho mchana nitakuwa nayo tayari, unanipa ofa ya sh ngapi mkuu.Kwa kijana jobless unaweza kuja nikakupa laptop ukaenda maeneo ya chuo ku download....
Nmeicheki hapa naona ina season 20 na episode za kutosha, unanipa sh ngapi ili kesho nikuletee mzigo wako? Mm pia niko DarKama ni mfanyakazi wa ofisini ambako kuna free WIFI unaweza pia kuingia katika kinyang'anyoro hiki ili na wewe upate chochote kitu
Naijua mitandao yote ya kupata hii movie mkuu wangu1337x utaikuta hii movie
Na nataka kuanzia seson 3 kaka...Kesho mchana nitakuwa nayo tayari, unanipa ofa ya sh ngapi mkuu.
Kumbe unaishi kijijini hakuna wi-fi njoo mjini Kuna wi-fi nyingi mchawi ni nywila tu ( password ) πππππππUkisoma uzi nimeelezea watu kama nyie ahahahaha
Mkuu hayo mambo yameshindikana
Sehemu nilipo kupata free WIFI ni ngumu
Sasa kama mchawi nywila kuna tofauti gani na kijijini.Kumbe unaishi kijijini hakuna wi-fi njoo mjini Kuna wi-fi nyingi mchawi ni nywila tu ( password ) πππππππ
Hapana me sio wa kuja ila nashangaa nchi ya Tanzania baadhi ya maeneo wi-fi mpaka nywila, sio kama nchi Za South Africa, Namibia, Botswana, Lesotho, Morocco, n k.Sasa kama mchawi nywila kuna tofauti gani na kijijini.
Ahahahahahhha alafu inaelekea we wa kuja mkuu et
Huko ni bure mkuu je ina speed ahahahhaha daah bongo nyoso kaka oooohHapana me sio wa kuja ila nashangaa nchi ya Tanzania baadhi ya maeneo wi-fi mpaka nywila, sio kama nchi Za South Africa, Namibia, Botswana, Lesotho, Morocco, n k.