Natafuta hii pikipiki

fakenology

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2012
Posts
999
Reaction score
672
Kuna jamaa yangu anaitafuta hii pikipiki anataka kuinunua aina kama hii ila anataka iwe mpya.

Anayejua wakala wake hapa Tanzania tusaidiane anuani.

Brand name ya pikipiki hiyo ni SELFIR.
Hata kama kuna duka unalijua linauza nielekeze.

Tafadhali msaada!

 
Sasa kama pikipiki mpya tuu umekosa inapo uzwa ukihitaji spare je?
 
Sasa kama pikipiki mpya tuu umekosa inapo uzwa ukihitaji spare je?
hapo chacha.

wengi wanakosea kufanya maamuzi sahihi linapokuja hitaji la vyombo vya usafiri. wanataka upekee, yaani mtaani awe unique bila kujiuliza hali ma gharama za matunzo.

dude unalipanda siku 20 likivunja hata gear lever unasaka miezi 5 likiwa ndani we unatembea kwa mguu kisa uliogopa usichekwe kununua 'yebo yebo'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…