Natafuta hiki kifaa

Natafuta hiki kifaa

Restless Hustler

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
5,150
Reaction score
20,025
Tafadhali mwenye kujua hiki kifaa kinaitwaje na kinauzwa wapi anijuze. Kinafungwa kwenye gudulia linakuwa kama water dispenser na kinachajiwa, Chaja yake kama ya simu. Nimekikuta sehemu ambapo hakuna wa kumuuliza.

IMG_20210929_102013_797.jpg


IMG_20210929_102029_806.jpg
 
Inaitwa water filter' bei inategemea naubora zinaanzia kati ya 10,000 hadi 50,000 huko....
Marayamwisho niliziona little more...
 
Back
Top Bottom