natafuta hiki kitabu cha sheria cha kiswahili.

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
bahati mbaya nimesahau jina na muandishi. kimechapishwa karl jamer kariakoo. kina ganda la kijani na kina samples za mikataba mbalimbali kama ya upangaji ,kununua nyumba nk. kama kuna sehemu ntakipata mbeya itakuwa fresh ila kama kuna mtu atanitumia toka dar pia siyo mbaya.
 
Nenda book shop za serikal vinapatikana!

hiki kimeandikwa na mtu binafsi, nafikiri ni mhadhiri UD nacho naweza pata?. bookshops za serikali huwa zinapatikana wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…