HR mshahara 400k, mfanyakazi ndo atapata 100kHabari za asubuhi
Kama kichwa kinavyojieleza nahitaji mfanyakazi HR awe mwanamke na anaishi mkoa wa Lindi.
Elimu ni certificate au diploma
Mshahara
400,000
Naomba kusisitiza awe mwanamke na anaishi mkoa wa lindi. Wakipatikana zaidi ya mmoja ni lazima wafanyiwe usaili.
Human resources ( Afisa rasilimali watu au Meneja mwajili)HR ndiyo mtu gani?
Human resourceHR ndiyo mtu gani?
Company ina deal na shughuli gani basically?Habari za asubuhi
Kama kichwa kinavyojieleza nahitaji mfanyakazi HR awe mwanamke na anaishi mkoa wa Lindi.
Elimu ni certificate au diploma
Mshahara
400,000
Naomba kusisitiza awe mwanamke na anaishi mkoa wa lindi. Wakipatikana zaidi ya mmoja ni lazima wafanyiwe usaili.
mataoq wewe atafahamu vipi bila kuuliza?acha nyodoHuman resource
Poa puff daddy nimekuelewa, twende juu tukachek movie basi!mataoq wewe atafahamu vipi bila kuuliza?acha nyodo
vua chupi kabisa nikupake wesePoa puff daddy nimekuelewa, twende juu tukachek movie basi!
Kwa mshahara huo Huyu hawezi kuwa Mwajiri😃..Human resources ( Afisa rasilimali watu au Meneja mwajili)
Wewe umeajiri wangapi afsa?Kwa mshahara huo Huyu hawezi kuwa Mwajiri😃..
Yaan Mwajiri ananuka njaa