Natafuta huduma ya vifungashio vya kisasa

Natafuta huduma ya vifungashio vya kisasa

Mtotigite

Member
Joined
Aug 11, 2009
Posts
40
Reaction score
3
Mimi ni mjasiriamali mdogo kwa sasa ninahitaji kufungasha bidhaa zangu kwa vifungashio vya kisasa (export quality) na kuuza bidhaa zangu kwenye supermarkert au kusafirisha kwenda nje naomba kama kuna mwana JF anayejua mahali napoweza pata huduma ya vifungashio vya kisasa tuwasiliane kupitia hapa. au nipigie 0784876210
 
Bidhaa za aina gani?please PM me with details i might be of help.
 
Tanzania Bureau of Standard [TBS] kwa ushirikiano na serikali ya Ujerumani wamefungua maabara ya kisasa, kusaidia wajasiriamali jinsi ya kufunga bidhaa zao kwa kufuata standard za kimataifa. Pia watakufamisha ni wapi utazipa vifungasho.

SIDO pia wanatoa huduma hizo na mara nyingi wanawasaidia wafanyabiashara kuangiza vifungasho toka nje inapobidi.
 
Mimi ni mjasiriamali mdogo kwa sasa ninahitaji kufungasha bidhaa zangu kwa vifungashio vya kisasa (export quality) na kuuza bidhaa zangu kwenye supermarkert au kusafirisha kwenda nje naomba kama kuna mwana JF anayejua mahali napoweza pata huduma ya vifungashio vya kisasa tuwasiliane kupitia hapa. au nipigie 0784876210

Mtotigite,

Wasiliana na 0767988173
 
watch out!, kama unapeleka nje wao ndio wanadictate ain aya vifungashio, na pia inategemea aina ya produce, kuna nyingine itabidi mtengenezaji wa vifungashio awe na ISO standard, kwa kuanzia check na customer/retailer wako anatakapackaging gani, na wengi wao wanatoa toa packaging zao maana wanataka kupunguza double packaging na pia kukabiliana na green supply chain, recycable policy, so have a detailed study, i can give some help if you wish. but its good business pull up your sox
 
Nadhani Bakhresa anafanya, ingawa nadhani mteja wake mkubwa ni yeye mwenyewe.

http://www.bakhresa.com/bakhresa-group/group-companies-list.php
Kong'oli kwenye link ya Omar Packaging.

Kusema ukweli mimi ningependa kufanya hiyo biashara ya ku-export. Ila approach yangu ingekuwa kupackage kwenye kitu kama polythene bag hapo Tanzania, then ku-repackage tena huku, main reason ni kitu alichosema AM_07.
Sababu nyingine ni Health & Safety issues. Kuna vyakula nimenunua vya kibongo viko packaged vimeletwa huku, lakini unaweza kutana na mchanga au mkaa kwenye begi. Wakati ukinunua vitu vya kama Thailand, hukuti uzembe huo. Unless unasimamia wewe packaging, kumtegemea mtu mwingine anaweza asijali afya wakati wa packaging, then unaharibu biashara.
 
Back
Top Bottom