Natafuta huu mpira wa kwenye gari

Papa Mopao

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2009
Posts
4,153
Reaction score
2,647
Gari langu ni Vitz

Natafuta mpira kama huu, nitashukuru nikiupata maana ya kwangu imekatika inavuja maji kwenye picha niliyo onyesha kwa karibu.

 
Mkuu unaishi mkoa gani?
Kama upo dar ebu nenda pale mtaa WA lindi(shaurimoyo) Kariakoo utapata pia haujataja hiyo pipe ni ya gari gani
 
Nakuchekia mkuu weka na namba basi, uko maeneo gani ? kutakuwa na charges za delivery na installation nafuu kabisa.
 
Hiyo ni machine ya kuponda kokoto? Usije ukasema ni gari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…