Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,153
- 2,647
T woter supply ,mleta mada hajuiMkuu unaishi mkoa gani?
Kama upo dar ebu nenda pale mtaa WA lindi(shaurimoyo) Kariakoo utapata pia haujataja hiyo pipe ni ya gari gani
Vitz mkuu, kuna sehemu imekatika maji yanavuja nashindwa kwenda safari ya mbaliMkuu unaishi mkoa gani?
Kama upo dar ebu nenda pale mtaa WA lindi(shaurimoyo) Kariakoo utapata pia haujataja hiyo pipe ni ya gari gani
Wewe upo wapi?Nakuchekia mkuu weka na namba basi, uko maeneo gani ? kutakuwa na charges za delivery na installation nafuu kabisa.
ShukraniT woter supply ,mleta mada hajui