Natafuta IT man anaeelekea Malawi

blogspot

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2017
Posts
1,268
Reaction score
1,143
Habari wakuu

Natafuta IT man anaepeleka Gari Malawi nishuke nae mbeya kesho asubuhi anipitie Msamvu morogoro.

Shukrani.
 
Inabidi ukae hapo kituo cha mafuta kabla ya round about ya Msamvu huwa ndio kituo chao cha kuchukua abiria.

Kuna madalali inabidi uongee mwenyewe na madereva gari ikiingia hapo
 
Inabidi ukae hapo kituo cha mafuta kabla ya round about ya Msamvu huwa ndio kituo chao cha kuchukua abiria.

Kuna madalali inabidi uongee mwenyewe na madereva gari ikiingia hapo
Shukrani mkuu nimefanikisha leo saa moja asubuhi nililata washkaji wanaenda kusimamia miradi yao kyela so tukawa team safari ilikua tamu sana shukrani kwa msaada wako. Mbeya nimeingia saa 11.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…