Natafuta jamaniii....natafuta mwenzenu

Natafuta jamaniii....natafuta mwenzenu

D'angelo

Member
Joined
May 11, 2011
Posts
10
Reaction score
0
Natafuta mrembooo mwenye umri kuanzia miaka 24-26 awe mpenzi wangu.....bt awe tayari kuwa nami kwa upendo kabisa awe na kazi yake.....awe tayar kupima.......
 
awe tayari kupima nini sasa,.......sema kitu gani maake siku hizi magonjwa ni mengi sana
 
Sasa unamtafutia humu, kwani umempoteza humu?

 
Natafuta mrembooo mwenye umri kuanzia miaka 24-26 awe mpenzi wangu.....bt awe tayari kuwa nami kwa upendo kabisa awe na kazi yake.....awe tayar kupima.......
.

Lete picha yake na sisi tukusaidie kutafuta, umetoa taarifa polisi?
 
Hivi why searching women in JF,inamaana umeshindwa kabisa kumpata mrembo kitaa cha kwenu!nawashangaa sana hawa watu wanaofanya mambo kama haya!very ******
 
Back
Top Bottom