nenda katafute vyuoni,hapa jf tumebakia mimama tu tuna ndoa zetu halafu tumejazia jazia....
Ww mwenyewe ni mbicha ama mkavu kiasi gani? All the best
waoaji wachache sana cku hiz madamex, na wanavyodai tena kwamba female ni wengi kuliko male, ukiongeza na hawa cameroon(PM wa england) anaotaka kutengeneza plus ugumu wa maisha inafanya kuolewa kuzidi kuwa bahati ya pekee.Yaani kuolewa ni bahati na siyo makubaliano kweli wewe chizi. Katafute kwengine hakuna desperate.