ungebadilisha jina lako kwanza, ww si jambo jema! then um-introduce na mkeo humu ili mafisadi papa wamsalandie manake ugali nao kila siku utakuwa unamchosha,walau apate chapati, tambi, wali,unajua tena!
Weye umesalandia/umesalandiwa na wangapi?
Nipo tayari... vigezo na masharti kuzingatiwa....
wifi nakusalimia tu. afu ntakuja unigee desa la masharti,manake vigezo tu nnavyo,lol!
Hahahahaha lohhh Haya bana naona nimekurahisishiA kazi...Dahhh sikujua ukuwa juu ya miaka 30 We bado ni kabinti kadogo.. Dahhhhh kazi kweli kweli..Nway Kila lakheri 🙂We basi sio kabinti. Hutonifaa