Natafuta kabinti kasirisiri

ungebadilisha jina lako kwanza, ww si jambo jema! then um-introduce na mkeo humu ili mafisadi papa wamsalandie manake ugali nao kila siku utakuwa unamchosha,walau apate chapati, tambi, wali,unajua tena!

Weye umesalandia/umesalandiwa na wangapi?
 
wifi nakusalimia tu. afu ntakuja unigee desa la masharti,manake vigezo tu nnavyo,lol!


Mimi mzima wa afya... kumbe upo... ngoja niende birthday site nikajibu post yako....lol... na usijali kuhusu desa...
 
Mhhhh!!! kwa mpango huu, lazima tu ukimwi uendelee tu kuwepo......mhhhh!
 
Reactions: BAK
Husny nimekuona... naona ushaona mpango ninaofanya....lol


There are currently 7 users browsing this thread. (2 members and 5 guests)

 
mkuu kuna ka site nakupm pale leo leo unapata mzigo wa kula.....
 
Asanteni wakuu kwa michango. Nimewaeleweni nyote kwa ujumla kuwa hampendi promiscuity hadharani pamoja na kuwa wengi wetu tuko pamoja pembeni. Keep it up. Nawashukuru kwa michango yenu na niliowakwaza mnisamehe Bure! Mods nawasihi muifunge mada hii, inatosha sasa.
 
hiyo siri itakuwa ni ya mda tu.mkikwaruzana ataenda kumwambia hadi mkeo kila kitu.halafu angalia mkeo aliyepo jf awe hayupo kwenye hilo lika coz anaweza kukupm halafu siku ya kukutana pale mlimani city(samaki) ikawa noma juu ya noma.chukua hii kama tahadhari.mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…