Natafuta kabinti kateke (ila kawe 18+)

funzadume

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2010
Posts
13,624
Reaction score
21,362
Jamani natafuta kabinti kadogo, kateke, english medium, dot. com ambacho kitakuwa kinaniliwadha kwa kuniimbia nyimbo za blues na swagga za kudeka deka hivi na kunitania tania na vijimambo vingine kama kuni-facebook n.k ila sio kuchakachuana

Sina nia mbaya ni kutaka tu kujifurahisha mtima wangu na kupunguza stress za maisha ila narudia tena kuchakachuana NO
 
teh teh!
me out vigezo nehi ahh ebu mie nikalilie mbele:spider::spider::spider:!!!!!!!!!!!
 

Funza ujasiri wako sasa naona umepitiliza!!!
 

Huna stress za maisha rafiki................hujasikia kuchakachua is one of the Great stress removers? lol nakutania mwaya

Kama una stress za maisha na mtima wenye huzuni, kabinti kateke hakatakusaidia, Njoo kwa Yesu akupe pumziko na amani ya daima.
 
Huna stress za maisha rafiki................hujasikia kuchakachua is one of the Great stress removers? lol nakutania mwaya

Kama una stress za maisha na mtima wenye huzuni, kabinti kateke hakatakusaidia, Njoo kwa Yesu akupe pumziko na amani ya daima.

amen.
 
Asalaam alequm...bwana asifiwe upo?
nipo sweetie
vp new beb boy ajambo?
ptia kndn basi badaye ukitoka job
nina umbeya mwaya yaan mpk folda zote zimejaa nafanya kusev kwenye xtenal
njoo nikupashe mbwiga wee yaliyojiri mjin apa
PRIMITIVE LIVING WTH PRIMINIST WAKE STL ON AIR...upo?
 
nako kabinti kanatafuta kijana mteke hivi kaku rap ili awe anacheza pia mcheza kikapu anaona anamfaa zaidi nadhani nafuta mkubwa kwa size yako mi ntakuelekeza walipo
 
mwone vilee!!!!!!
sjakumissssssssssss!!!!

uzuri wa mapenzi yetu huwa yanajionyesha wazi tu,
hayaitaji mtu kutafuta extra efforts kugundua hilo,
OOOh...Thanks GOD!!!!!!
UBARIKIWE MAMA!!!!
 
nipo sweetie
vp new beb boy ajambo?
ptia kndn basi badaye ukitoka job
nina umbeya mwaya yaan mpk folda zote zimejaa nafanya kusev kwenye xtenal
njoo nikupashe mbwiga wee yaliyojiri mjin apa
PRIMITIVE LIVING WTH PRIMINIST WAKE STL ON AIR...upo?

Hajambo naona kaamua kukabali sifurukuti kila wakati anataka maziwa na kubembelezwa

Hata mimi pia naona extenal imejaa umbea karibu utamwagika... vipi leo wapi? kwa Eliza?
 
Hajambo naona kaamua kukabali sifurukuti kila wakati anataka maziwa na kubembelezwa

Hata mimi pia naona extenal imejaa umbea karibu utamwagika... vipi leo wapi? kwa Eliza?

weeeeeeeeeee weeeeeeeeee mi ntakuwa matron wako plssss....:wink2::wink2:!!!!!
mnyonyeshe uyoooooo mpe nyonyo anyonye anenepe asipate kwashakoo bure mtoto wa wawatu!!!!!
njo kwa geto bwana km vp ndo tutapanda wote kwa jj au ?asi unajua kibajaj pbm?
 
uzuri wa mapenzi yetu huwa yanajionyesha wazi tu,
hayaitaji mtu kutafuta extra efforts kugundua hilo,
OOOh...Thanks GOD!!!!!!
UBARIKIWE MAMA!!!!
tokaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!
nataka uyoga wangu!!!!!!!!!
 
sasa wewe nenda wanakouza kuku wa kisasa utapata kateke

hahahaha, tehetehe

fidodido
 
nako kabinti kanatafuta kijana mteke hivi kaku rap ili awe anacheza pia mcheza kikapu anaona anamfaa zaidi nadhani nafuta mkubwa kwa size yako mi ntakuelekeza walipo

Why not you! nakuona una viwango almost vyote alivyotaka funza, labda hiyo '18..
 
weeeeeeeeeee weeeeeeeeee mi ntakuwa matron wako plssss....:wink2::wink2:!!!!!
mnyonyeshe uyoooooo mpe nyonyo anyonye anenepe asipate kwashakoo bure mtoto wa wawatu!!!!!
njo kwa geto bwana km vp ndo tutapanda wote kwa jj au ?asi unajua kibajaj pbm?

Poa ngoja nikanyonyeshe maziwa kwanza jioni ntakujulisha nikupitie saa ngapi
 
nako kabinti kanatafuta kijana mteke hivi kaku rap ili awe anacheza pia mcheza kikapu anaona anamfaa zaidi nadhani nafuta mkubwa kwa size yako mi ntakuelekeza walipo
kwa kweli nipeleke nitakupa kifuta jasho kizuri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…