Natafuta kabinti kateke (ila kawe 18+)


if you want to live a more peaceful,meaningful life,you must think more peaceful,meaningful thoughts.....
 
Aisee funzadume, nenda Afghanistan. Huko utapata kila saizi, tena bila noma!

 

lazima utakuwa umeoa mtu mzima so mapenzi kwishnei ss unatafuta raha kupitia vibint kwani una mtt wakike
 
lazima utakuwa umeoa mtu mzima so mapenzi kwishnei ss unatafuta raha kupitia vibint kwani una mtt wakike
mapenzi kwa mke wangu yapo ila natafuta yale mapenzi ya vitoto vidigo yale ya usiku unaambiwa sleep tight na kuimbiwa blues hivi wakati tumetulia ufukweni sitaki stress za mke za kuambiwa sijui tukitoka hapa tupitie sokoni kariakoo nyanya chungu zimeisha
 
sasa wewe nenda wanakouza kuku wa kisasa utapata kateke

hahahaha, tehetehe

fidodido
tena navitafuta hivyo hivyo vya chips kuku maana vitoto vidogo havina gharama tofauti na watu wazima waliopitia machingu kibao ya maisha ukionyesha interest tu unaambiwa nikopeshe milioni 2 nikalipie pango au fridge langu limekufa nitafutie jipya nataka vibinti vya Ipod na MP4 aka dot.com kikilia na mie nalia yaani yale mapenzi ya ki-college college hivi na ki-facebook
 
tangu umeweka neno kuimba im out..
maana mi nikiimba nzi wanacheza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…