Breeze Rabi
New Member
- Jan 19, 2020
- 2
- 3
Habar wakuu
Kwanza Natafuta kampuni(sio mtu) iliobobea kwenye maswala ya plumbing inayoweza kufanya plumbing both maji Safi na maji taka kwenye gorofa tatu tatu(zipo gorofa nyingi) na kusambaza maji kwenye maeneo yote ya eneo hilo kwajili ya matumizi mbali mbali Kama ya swimming pool, umwagiliaji bustani n.k.Pili natafuta Kampuni inayoweza kufunga cctv camera kwa ufanisi.
Tatu natafuta Kampuni ya kufunga air conditioning system.Na mwisho natafuta Kampuni ya kufanya electrical installation.
NB.Natafuta Kampuni zenye uzoefu na miradi mikubwa.majengo yote yana three floors..ni Dm or nitext WhatsApp kwa 0693797110. As soon as possible.
Kwanza Natafuta kampuni(sio mtu) iliobobea kwenye maswala ya plumbing inayoweza kufanya plumbing both maji Safi na maji taka kwenye gorofa tatu tatu(zipo gorofa nyingi) na kusambaza maji kwenye maeneo yote ya eneo hilo kwajili ya matumizi mbali mbali Kama ya swimming pool, umwagiliaji bustani n.k.Pili natafuta Kampuni inayoweza kufunga cctv camera kwa ufanisi.
Tatu natafuta Kampuni ya kufunga air conditioning system.Na mwisho natafuta Kampuni ya kufanya electrical installation.
NB.Natafuta Kampuni zenye uzoefu na miradi mikubwa.majengo yote yana three floors..ni Dm or nitext WhatsApp kwa 0693797110. As soon as possible.