Costs zako zikoje mkuuCall me 0718138382
Cost zinatofautiana kutegemea na urefu wa kisima kuna baadhi ya maeneo yanahitaji kufanya survey lkn maeneo mengine sio lazima hasa kutokana na uzoefu wetu wa kuchimba maeneo mbalimbali ya dar
Maneno mingiii na swali halijajibiwa. Toa bei acha blabla, huu ublabla hautatufikisha popote watanzania.Cost zinatofautiana kutegemea na urefu wa kisima kuna baadhi ya maeneo yanahitaji kufanya survey lkn maeneo mengine sio lazima hasa kutokana na uzoefu wetu wa kuchimba maeneo mbalimbali ya dar
Nipo pugu kigogo fresh! Nahitaji kampuni ya kunichimbia kisima kirefu. Nijulishe gharama zake. Tuwasiliana no 0718412041
Kuna mchina alituchimbia Kisima pale Pugu Kajiungeni cha mita 80, gharama zake zilikuwa nafuu, nitakutafutia namba yake.
Kuna mchina alituchimbia Kisima pale Pugu Kajiungeni cha mita 80, gharama zake zilikuwa nafuu, nitakutafutia namba yake.
Kaka na mimi usiniache naona mjasiliamali ana biashara ya kitanzania zaidi.
Cost zinatofautiana kutegemea na urefu wa kisima kuna baadhi ya maeneo yanahitaji kufanya survey lkn maeneo mengine sio lazima hasa kutokana na uzoefu wetu wa kuchimba maeneo mbalimbali ya dar
Maneno mingiii na swali halijajibiwa. Toa bei acha blabla, huu ublabla hautatufikisha popote watanzania.
Buyuni Chanika kuna haja ya kufanya survey?
Buyuni chanika kati ya mita 80 mpaka 100 unapata maji
Buyuni chanika kati ya mita 80 mpaka 100 unapata maji
Nitakupaje bei wakati haijulikani unataka kuchimba mita ngapi