Natafuta kampuni ya usafirishaji kutoka India kuja Tanzania

Mshana Jr njoo huku
 
Nenda kwenye maduka ya Wahindi watakupa contact, kwa Wahindi hiyo ni fursa hata kahawq na soda utapewa na kiti utapewa cha kukaa kusubili simu.
 
Mimi pia kuna kama shine cha kilo 50-100 kanapatikana India [emoji1128] nakihitaji sana
 
Mimi pia kuna kama shine cha kilo 50-100 kanapatikana India [emoji1128] nakihitaji sana
Nitumie instructions za hiyo mashine ilipo nitakusimamia ipitie Dubai ndio njia rahisi kisha ikishafika Dubai maituma ije Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…